Showing posts with label Alexander. Show all posts
Showing posts with label Alexander. Show all posts

Tuesday, November 13, 2012

THANKS FOR YOUR PARTICIPATION IN THE SEMINAR BY ROSE MUSHI AT THE UNIVERSITY OF DODOMA

YOUR RELATIONSHIPS AND YOUR DESTINY
THANKS FOR YOUR PARTICIPATION IN THE SEMINAR BY ROSE MUSHI AT THE UNIVERSITY OF DODOMA ON 10th & 11th November 2012. GOD BLESS YOU ALL

Friday, August 31, 2012

KWA ELIMU HII TUTAFIKA? - Alexander Mtweve


Kama kuna kitu ambacho kinaweza kuonesha mwelekeo wa taifa lolote duniani kimaendeleo kwa miaka kadhaa ijayo, basi ni mfumo wake wa elimu.
Nchi nyingi ambazo kwa sasa zinafurahia maendeleo ya kiuchumi na kiviwanda n
i matokeo ya uwekezaji mzuri uliofanyika hapo awali katika elimu, na suala linakuja siyo tu elimu, bali elimu bora ikiwa na mfumo unaochochea ukuzaji wa vipaji na uwezo wa wanafunzi.
Kwa upande wa nchi nyingi za kiafrika ambazo zimerithi mfumo wa elimu kutoka kwa watawala wetu wa kikoloni, suala la kuwa na mfumo mzuri wa elimu bado ni ndoto, kwani mfumo uliopo umewekezwa kwenye itikadi ileile ya kuwalisha watoto matango pori.
Ninachokimaanisha hapa ni kuwa, mwanzoni wakoloni waliwapa elimu waafrika wachache ili waweze kuwasaidia katika shughuli zao za kiutawala na kuendesha uchumi wa kikoloni, cha ajabu ni kuwa hata baada ya kupata uhuru nchi nyingi za kiafrika zimesalia kuutegemea mfumo ambao muda wake umekwisha.
Siyo kitu cha ajabu kumsikia mzazi akimwambia mwanae “soma kwa bidii mwanangu ili uje kupata ajira nzuri utusaidie sisi wazazi wako”. Jambo hili linajengeka kichwani mwa mtoto na kuona kuwa njia pekee ya kupata ajira/maisha mazuri ni kusoma kwa bidii. Sisemi kuwa kusoma kwa bidii ni kitu kibaya, ila unajua mwanao anasoma nini?
Nakumbuka wakati ninsoma shule ya msingi kulikuwa na masomo mengi ambayo mwisho wa siku huunganishwa kwenye mitihani mitatu (Hisabati, Maarifa na Lugha). Katika masomo haya kila mtu alikuwa na kiwango cha aina yake cha ufaulu, kila mmoja alikuwa na uwezo tofauti kulingana na somo.
Kwa upande wangu lugha ndilo lilikuwa somo nililoliweza zaidi, japo katika masomo mengine pia nilifaulu vizuri na kufanikiwa kujiunga sekondari. Huku sasa nikajikuta niko katika dunia nyingine tofauti kabisa!
Ile staili ya kufundishwa ya shule ya msingi ikawa ni kama imegeuzwa juu chini. Mchakamchaka wa kufundishwa ambao sikuuzoea shule ya msingi nikakutana nao sekondari na hakuna njia nyingine isipokuwa kuendana na mazingira.
Ile habari ya kupata hesabu 45 kati ya 50 haikuwepo tena! Maswali ya nchi gani inaongoza duniani kwa uzalishaji wa motokaa (enzi hizo tuliambiwa ni Ujerumani, japo kwa sasa najua ni Japani isijekuwa wanafundishwa ni Ujerumani bado!) sekondari haikuwepo tena.
Kwa kifupi mambo yalikuwa yamebadilika mno, isipokuwa kitu kimoja tu: “fundisha ya bora liende” au “ndivyo mtaala unavyosema”. Katika hili kwa kweli sina sababu ya kuwalaumu walimu, kwani wao wanafundisha kulingana na mtaala wa elimu unavyosema, japo walimu wachache wajanja walitupenyezea ujuzi wao wa ziada juu ya mambo muhimu nje ya mtaala.
Kwa jinsi mabo yalivyokuwa yakienda nikapata wasiwasi kama kile ninachokitarajia (maisha mazuri) nitakipata kweli. Ukweli ni kwamba sikuwa na malengo maalumu juu ya nini hasa ninataka kuja kukifanya maishani ili kujisikia kwamba nina maisha mazuri. Kuna wakati nilikuwa na ndoto ya kuwa rubani, raisi, mbunge, mfanyabiashara na kila aina ya ndoto.
Sikuwahi katika kipindi hicho kujua ni kwa jinsi gani ninaweza kuunganisha kusoma kwa bidii nilikoambiwa na kupata ajira na maisha mazuri. Nilisikia rafiki zangu wakilalamika (hasa wanaopenda sayansi) kuwa hawakuwa wakisoma sayansi, bali historia ya sayansi. Japo sikuelewa kiundani sana, ila nilijua matarajio yao hayakufikiwa.
Vitabu vilivyokuwa vikitumika kufundishia masomo ya sayansi ni vya zamani kiasi cha wanafunzi kuwa na wasiwasi kuwa mambo mengine wanayofundishwa huenda yamepitwa na wakati na hayatumiki tena katika ulimwengu wa kiteknolojia. Nafikiri pia ilichangia wanafunzi wengi kujikuta wakiangukia katika masomo ya sanaa hata kama walipenda kuwa wanasayansi.
Turudi kwenye mada yetu. Kwa muda mfupi tulishuhudia mabadiliko katika wizara ya elimu ambapo ilikuwa ni kama kila waziri akiamka anakuja na fikra zake na kuzifanya sera ya elimu. Nakumbuka Mungai aliwahi kuunganisha masomo (eti Fizikia na Kemia kama somo moja) akafuta somo la kilimo na masomo ya biashara ambayo angalau yalikuwa na mwelekeo wa moja kwa moja juu ya kitu mtu anataka kukifanya maishani mwake.
Kikubwa ni kwamba elimu ilikuwa haimsaidii mtu kufikia malengo yake, ila tu ilikuwa inakupeleka ngazi nyingine ya juu zaidi ya kielimu. Ukweli ni kuwa wengi tulikuwa tunasoma ili tufaulu mitihani ya mwisho na kwenda ngazi ya juu kielimu kama kidato cha tano na cha sita na hatimaye chuo kikuu.
Kwa kuwa akili za wanafunzi wengi zimewekezwa kwenye kufaulu, basi mtu akishindwa kufaulu mtihani anaona kama dunia imegeuka juu chini. Na wengi wakifeli mitihani huona kama maisha yao yamefika mwisho kwa kuwa njia pekee aliyoambiwa ya kufikia mafanikio ni kusoma kwa bidii, sasa amekata tamaa kwani pamoja na kusoma kwa bidii amefeli mitihani.
Kutokana na msukumo mkubwa kuwekwa kwenye ufaulu, wanafunzi wengi hujikuta wakiweka mkazo zaidi kutaka kufaulu mitihani. Hii hupelekea hata wazazi kuwaona watoto wao kuwa hawana akili ikiwa watashindwa kufaulu mitihani ya taifa.
Cha msingi cha kujiuliza hapa ni kuwa, kwa mfano amesoma miaka saba shule ya msingi, na mtihani anaufanya mara moja, huenda siku hiyo hali yake kisaikolojia haikuwa nzuri na akajikuta ameshindwa kufanya vizuri, je inamaanisha kuwa alikuwa hajiwezi kimasomo? Kwa nini usiwepo mfumo mbadala wa kupima uwezo wake na wa kumpeleka mbele?
Matokeo ya kuwekeza sana kwenye ufaulu badala ya uelewa hupelekea wanafunzi na wazazi wao pamoja na walimu kujihusisha na udanganyifu katika mitihani, kwani wanajua ya kuwa kufaulu mtihani wa taifa ndiyo njia pekee ya kufanikisha maisha yao. Unakuta mtoto kafaulu kwenda sekondari lakini hata jina lake hawezi!
Ni ukweli usiopingika kuwa mfumo wetu wa elimu umejiwekeza sana katika nadharia na kukariri na kumnyima mwanafunzi kujenga na kukuza uwezo wake hivyo kumlazimisha mwanafunzi kusoma vitu vingi na kupunguza uwezo wake katika masomo anayoyamudu zaidi.
Ni vema kumuendeleza mtoto kulingana na kipaji chake ili aweze kuonyesha uwezo wake zaidi na kupata matunda mengi zaidi kutoka katika kipaji chake. Huenda siku zote tunajiuliza inakuwaje tunao wasomi wengi lakini mbona hatuna maendeleo na bado tunaagiza wasomi kutoka nje kwa ajili ya shughuli mbalimbali nchini.
Sababu kubwa ni kwamba elimu yetu inaua vipaji badala ya kuvikuza na hivyo tunajikuta tukipoteza wataalamu wengi kupitia mfumo duni wa elimu unaowalazimisha wanafunzi kukariri vitu visivyo na umuhimu ili waweze kufaulu tu, huku tukisahau jambo la msingi zaidi ambalo ni kuwa na watu mahiri katika jambo fulani.
Tukitaka kwenda mbele, ni muhimu kuwekeza vizuri katika elimu yetu kama ambavyo mataifa mengine yaliyoendelea na yale yanayoendelea kwa kasi yalivyofanya. Hata katika baadhi ya nchi majirani tunaweza kujifunza.
Mfumo wetu wa elimu ukiwa vizuri, wazazi wataacha kuwakimbizia watoto wao shule za kiingereza na zile za St. Nanihii kwa kudhani kuwa ndiko kuna elimu bora zaidi (kwa upande fulani ni kweli) na kuwaacha kina Kayumba wakibaki bila kimbilio.

Friday, June 10, 2011

SETTING GOALS IN LIFE by Sir. AZGARD STEVENE

The most difficult question to students or any youth who want to live a clear, victorious and prosperous life in his/her future is, "WHO DO I WANT TO BE?"

One point I want to start with is this: LIFE HAS A MEANING, YES, IT HAS A PURPOSE! While living we must identify what our meaning of life is before we die, or, at best, before we are of evening age. Every single of us has something he/she would like to achieve which uniquely identify you, a goal that you want to achieve before your days are over in this beautiful world.

It is a good idea for you that you're reflecting on this today, that's why you're reading this epistle. I say so because the timing of setting big goals is when you're young. At this moment to you the sky is the limit, you can be whatever you like, and you have time, energy, spirit and opportunities before you. I guarantee you as time goes and you grow older things becomes thinner and narrower. You will not talk of the sky but your own arms length as the limit. You begin to have social responsibility that ties you around; your own energy got spent reducing your speed every day. So while still have all the advantages on your side, PLAN, set your goals and keep focused to achieve them. It is not, I must caution you, an easy task. It involves keeping away from things you may like now, it calls for high sense or discipline. But then, at all standards, it is necessary thing to do!

Somebody said this statement to me while I was just form three at Galanos Sec School some years ago; "If you are not handsome at the age of 20s, if you are not strong at the age of 30s, if you are not wise at the age of 40s and if you are not rich at the age of 50s, then forget about it". I won’t forget this statement in my entire life; it is a challenging statement to set goals with time. Let me add this to you, "If you fail to plan, you're planning to fail".

My dear, it is both important and must to set goals in life, just like the way it is important for driver to know his way when driving. If you don’t have any goal you will not be able to focus on anything. To you everything will be right and you will just do anything. You must learn to dream, set targets and achieve them. For example, college to go, combination to study, where to work, which patterned. All these are life choices and they are made after a thorough consideration and achieved through a planned, organized and coordinated EFFORTS.

HOW TO KNOW OUR GOALS!

This is relatively difficulty process to some people, for others it is easy and straightforward. One may know without even thinking what one want to achieve or what one want to do starting from career, lifestyle, choice of partners etc.

These are things you can use to know your goals, just sit down, and think hard, talk to yourself an important question: "WHAT DO YOU WANT TO BE AND TO DO FOR YOU TO BE HAPPY?" Look around you what is it that interests you? Look at the people you look up to and admire and wish you were them, what is it that you like about them? These are some of the questions that may help you. Do not rush take your time to reflect. Talk to people you trust, your parents, teachers, and mentors, people with experience, do your research, and of course, PRAY. (Never do a mistake of telling everybody about your plans; it might keep you in a worse position)

You might ask me this question; "What if I am planning to do something nobody had ever done?" For sure that is the highest degree of thinking, from which, the judge will be GOD and yourself! Just think hard about it, see the end before the beginning, PRAY, and then do it.

It is important to plan because there are things which you can only do once in your entire life time. Be careful therefore to play your cards well and make informed decisions. Once you are clear, you know what you want to be then work for it. Give it all your strength and effort to reaching it. Don’t ever despair, don’t ever say I can’t do this, because it is not true, you can and you must. You may not be genius, but as long as you know what you want, you will put in all that you have to get it. This is the spirit I want young men (ladies and gentlemen) to have.

WHAT DRIVES YOUR LIFE?

There are thousands of circumstances, values and emotions that drive or may drive your life. The common ones are:

Guilt.

A number of people spend their entire life running from regrets and hiding their shame. Guilt driven people are manipulated by memories. Their greatest mistake is that they allow their past to control their future. Unconsciously they are punishing themselves for their past mistakes or considered failures of not to succeed. They believe that they were in the position to succeed but for their own failures to grab opportunities they are back then. Their lives are without a real goal or ambition to look forward to anything. We can logically summarize this as life without purpose.

Resentment and anger.

Some of us are victims; we were hurt in the past. But, instead of releasing the pains through forgiveness, they rehearse in our minds without doing a thing about it. Resentment in nature, scientists so argue, hurts you more than the person you resent (angry with). The offenders may have already forgotten their offence and gone on well with their lives, you continue to stew yourself in pains. Those who hurt you in the past cannot continue hurting you now unless you hold on the pains through resentment.

Fear.

Can come from various sources such as traumatic experiences, unrealistic expectations, highly controlling parents or even genetic predisposition. Irrespective of the source, people whose lives are driven by fear miss a lot in life because they afraid to venture in a try. Instead, they would like to play it safe and clean while maintaining the status quo. Sorry for these people they are self-imprisoned.

Materialism.

Here the desire to acquire becomes the whole goal of their lives. The guiding belief here is that having more will make one happier, more important and more secure. But these are misconceptions. Happiness, importance and security are not the result of material acquisition rather a combination of many, of coerce, material inclusive. We will need social achievements, intellectual satisfaction and spiritual development. It is a combination of all these that can bring eventual joy.

Approval.

Many people, the number here is real great, allow the expectations of others - parents, teachers, sponsors, children or friends - to control their lives. The moment you allow the worry of what others will think of you the life becomes miserable and very hard. It is unfortunate that those who follow the crowd usually get lost in it. "I don’t know all keys to success but one key to failure is to try to please everyone".

The dead end these driving forces will take you is the same; unused potential, unnecessary stress and unfulfilled life. This is not where I would like you to be. Make sure you fight all these forces and decide on your own destiny and be yourself.

Remember:

·       The ultimate choice of whom you want to be is yours; no one will live your life for you.

·       If you do not plan and set goals in advance, the chances are, you will regret when it is a bit too late.

·       You can if you want to do it. (Remember, it is possible, just play your part)

·       If you keep looking ahead you will see the invisible and achieve the so called impossible.

·       You will always need to work on your strategy, your altitude, your spirit and your health.

·       To be positive, turn your mind to positive altitude pattern, see what others don’t see. (see the glass half full not half empty)

·       Do to your level best, and then leave the rest for God.

Success:

See your goals

Understand the obstacles (mission)

Clear your mind of doubts

Create a positive mental picture

Embrace the challenges

Stay on track

Show the world you can do it.

May God's Holy Spirit guide you to understand all these? It is my hope that, by taking all these in actions, you won’t be the same.

Mind you, everything you do need faith, what you see (in your heart) is what will happen; faith. Trust yourself, you can do it.

Yours in Christ Jesus,

Ev. Azgard S. Chamulungwana

+255713990607


JENGO LA KANISA TAG CITY HARVEST LAWEKWA WAKFU RASMI

HATIMAYE jengo Kanisa la TAG City Harvest limezinduliwa na kuwekwa wakfu na Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God, Rev. Dk. Barnabas Mt...