Friday, June 13, 2014

UZINDUZI WA KITABU - By Doreen Lifard




Hii si ya kukosa. Uzinduzi wa kitabu cha kijana huyu Doreen Lifard utakaoambatana na Tamasha la Kusifu na Kuabudu pale Uhuru Moravian (karibu na Msimbazi Centre) tar. 15 Juni,  2014 siku ya jumapili kuanzia saa 7:30 mchana

JENGO LA KANISA TAG CITY HARVEST LAWEKWA WAKFU RASMI

HATIMAYE jengo Kanisa la TAG City Harvest limezinduliwa na kuwekwa wakfu na Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God, Rev. Dk. Barnabas Mt...