Wednesday, May 30, 2012

TAMKO LA ASKOFU MKUU WA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD, DK.BARNABAS MTOKAMBALI, KUHUSU MATUKIO YANAYOASHIRIA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI.




Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoashiria
uvunjifu wa amani, umoja na utengamano wa taifa letu la Tanzania, haya
ndiyo yanayonisukuma kutoa tamko hili leo ili kuonya na kushauri.

Katika siku za karibu kiumeibuka makundi mbalimbali ya kidini ambayo
yalianza kutoa matamko yenye kuchochea ghasia za kidini Tanzania, na
pengine kauli hizo ndizo zinazotimizwa kwa vitendo hivi sasa.

Miongoni mwa matukio hayo ni:
Januari sita mwaka huu, kikundi kimoja kinachoitwa JUAKATA, kiliitisha
kongamano la kujadili katiba mpya Tanzania, kwa upande wa Waislam.
Katika kongamano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee,
Dar es Salaam kauli zifuatazo:
1. Lazima Rais ajaye atoke Zanzibar
2. Kukabiliana na ukuaji wa kasi wa dini ya Kikristo
3. Kupinga Muungano ili kuupa nguvu Uislamu
4. Kupigana kufa na kupona kutetea maslahi yao wakati huu wa kuandaa
katiba mpya.

Kauli hizo zilitolewa na Sheikh Nasor Mohameed, kutoka Zanzibar,
ambaye alikuwa mgeni rasmi. Baadaye zikaandaliwa kanda za CD
zilizosambaza ujumbe huo.

Uchunguzi unaonesha kuwa miongoni mwa makanisa yaliyochomwa hivi
karibuni huko Zanzibar ni ya EAGT, Elimu Pentecost na TAG, Anglikana,
Katoliki na FPCT, hivyo kujenga taswira ya ubaguzi wa kidini ambao
kama hautapatiwa dawa unaweza kuligawa taifa la Tanzania kama
ilivyotokea Nigeria na kwingineko barani Afrika.

Hofu yangu ni kuwa, roho hii ya ubaguzi wa kidini ambayo Baba wa Taifa
hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliifananisha na dhambi ya kula
nyama ya mtu, imekuwa ikiyatafuna mataifa ya Afrika kama ifuatavyo:

1. Mwaka 2000, vuguvugu la kuanzishwa kwa utawala wa Kiislamu
(Sharia), lilianza kwenye majimbo ya Kaskazini mwa Nigeria, miaka
michache baadaye majimbo kadhaa yakajitangazia sheria hizo na tangu
wakati huo kumekuwa na mapambano yasiyoisha. Takwimu zinaonesha kuwa
katika miaka ya karibuni zaidi ya Wakristo 500 wameuawa kikatili na
makanisa kuchomwa moto.

2. Roho hii imekuwa ikienea kwa kasi katika maeneo mbali mbali ya
Afrika ambapo imelikumba taifa la Mali, majimbo ya kaskazini tayari
yametangaza kujitenga na kuna vuguvugu lenye kuhusisha mapigano ya
silaha.

3. Itakumbukwa kuwa wiki chache tu zilizopita vuguvugu hili la kudai
utawala wa kidini liliibuka nchini Kenya ambapo watu wanaojiita
wanaharakati walianzisha madai ya kutaka eneo la Pwani kujitenga na
Jamhuri ya Kenya na kujitangazia taifa la Kiislamu.

4. Ni wakati huu ambao kundi la Uamsho linalopinga kuandikwa kwa
katiba mpya kabla ya kuitishwa kwa kura ya maoni ili wanzazibar waamue
kuhusu Muungano liliibuka na kuanzisha ghasia Zanzibar ambazo
zimepelekea makanisa kadhaa kuchomwa moto na mali kuharibiwa, huku
watu wa bara wakitishiwa maisha.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI NA VIONGOZI WA DINI

Ni wajibu wa kila Mtanzania kutii sheria na mamlaka kwa kuwa zimewekwa/
kuruhusiwa na Mungu, hivyo kuziasi ni Kumuasi Mungu, yaani ni dhambi.
Hivyo kila Mtanzania anastahili kukumbuka wajibu wake wa kutii
mamlaka.

Viongozi wenzangu wa dini wakumbuke kuwa wana wajibu mkubwa katika
jamii, na jamii inawasikiliza hivyo ni vyema wakawa makini katika
matamshi na maelekezo yao ili wasiwe chanzo cha kuchochea vurugu za
kidini na uvunjaji wa amani.

Ni vyema wakati huu wa kuandikwa kwa katiba mpya, kila kikundi
kikafuata utaratibu uliowekwa badala ya kuchochea ghasia ambazo
madhara yake yatawakumba watanzania wote ikiwa ni pamoja na wao
wenyewe watoto na wajukuu zao.

Pia ningependa kuwashauri viongozi wa serikali kusimama imara katika
kusimamia sheria na haki, na kuepuka kauli au vitendo vitakavyofanya
baadhi ya watanzania kudhani kuwa hawatendewi haki.

Ni vema ieleweke kuwa matukio kama haya ya uvunjaji wa amani
yasipodhibitiwa na kukomeshwa haraka yanaweza kuumba chuki ambayo
inaweza kuibua mlipuko mkubwa na machungu kwa wananchi na matokeo yake
yakawa mabaya kwa Taifa zima. Hekima na busara inatufundisha kuwa
tusipoziba ufa tutajenga ukuta.

Ni vyema wenye dhamana ya kuongoza wakakumbuka kuwa wanawajibu mbele
ya Mungu aliyewaweka au kuwaruhusu kuingia madarakani na siku moja
watatoa hesabu mbele zake.

Mwisho, natoa wito kwa watanzania wenzangu tuulinde umoja, amani na
utengamano wa taifa letu, tuikimbie dhambi ya ubaguzi kwa kuwa
tukiiruhusu itatuangamiza sote. Tuliombee taifa letu na kukiwa na
mbegu ya chuki tuimalize kwa njia ya majadiliano na vikao vya pamoja
vinavyohusisha viongozi wa dini zote na serikali pia.

Imetolewa leo 28/05/2012
Na Dk. Barnabas Mtokambali

Askofu Mkuu wa TAG

Wednesday, May 16, 2012

THERE IS NO ONE WAY SELF SUFFICIENT TO ALL DESTINATIONS - Part 2


There are dreams that each of us wishes to realize, only if wishes were horses, poor could ride! Usually when one wants to achieve something, he looks and review what path others followed in achieving what they wanted to. And we are usually tempted to use the very same path as others had, but end unfortunately as it is common, in vain. A lot of time is wasted trying to follow a path other successful people have used, but one ends up wondering, “Why do I not succeed while I did just like somebody successful did?” forgetting that when the first person passed through that way, he grabbed all necessary opportunities as advantages leaving behind trash!
That is why I personally like a saying by Alexander Graham Bell “Never walk on travelled path, for it will only lead you to where others have been” that is to say, you should be creative enough to invent your own ways that will ultimately lead you to wherever you wish to!
In plain language, you cannot want to go somewhere never before visited by somebody else at the same time take the very same path others usually use to go to “their places”. Look, you have your destiny which in order to arrive at it; you need to take a correct path to it. If you force to use mechanisms that others used (in the same way as they did) to work your thing out, it may not be a good idea!
There are plenty of ways out there to take you to where you wish. Only thing you need to do is learn from others who are successful, but not necessarily copy what they did or imitate their ways. Each individual under the sun is uniquely different from the other, thus should act differently from the other. Even in a system, different organs perform different jobs to achieve the common goal.
Take your way if you want to reach where you want, and if one way doesn’t work, why not try the other? There are computer geeks like Bill Gates who dropped from such a prestigious higher learning institution in the world as Harvard University to introduce Microsoft, and now he is the wealthiest man on the planet!
You do not necessarily need to hold PhDs to make progress or be innovative. All it takes is what God has individually given you. Just use it however little it is, and the result you get will encourage you to move even higher. You cannot see the other side if the hill unless you climb to the top of it! If you want to see far, go further!
Hope there is a day I will talk more about this, probably using a different approach. Thank you!
Alexander Mtweve
alexchizzar@gmail.com
+255 764 824 349

Wednesday, May 2, 2012

THERE IS NO ONE WAY SELF SUFFICIENT TO ALL DESTINATIONS - Part 1


One struggling to achieve something should know that there are several ways to make ends meet. There has never been one way self sufficient to all destinations, sometimes even one destination can have several ways to reach, except Heaven!
Take simple example of millionaires and billionaires in this world. Some engaged in media business, some in manufacturing industries, some in software design and development, and others in entertainment industry and so on.
Therefore, if one needs to become a millionaire, if you are to advise him/her, you cannot just say; go start a manufacturing industry, of motor vehicles for example. Does he/she have what it takes for one to be a motor vehicle manufacturing industry tycoon? Or just because there are people out there who started a similar business and make it through successfully!
Usually people fail in life and are unable to realize their dreams because they force a path that they cannot walk through. There is a Bollywood comedy movie I watched few days ago namely “Three Idiots”, man; it is really teaching stuffs, not in a way many will like or appreciate, but still the composer got it right and made it plainly clear: follow your passion (intense enthusiasm, of something positive though) if you are to succeed!
Just take an example of someone forced to do something he/she do not like. There is a Swahili saying “Unaweza kumlazimisha punda kwenda kisimani, lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji” which translates roughly as “You can force a donkey to the well but not to drink water” How awesome this saying is!
People are usually not good in something they are forced to do. They will eventually ruin it; spoil it just to show the one who forced them into it that they are far from interested in their business. Just like slaves in some parts of world who uprooted plants just to show that they do not appreciate what their master was forcing them to do.
Now don’t get me wrong that when your boss instructs you to carry out a certain activity in certain way you should apply your own ways; what I am saying here is; when you have a dream that you wish to realize, it is you to define the ways to make it true 

JENGO LA KANISA TAG CITY HARVEST LAWEKWA WAKFU RASMI

HATIMAYE jengo Kanisa la TAG City Harvest limezinduliwa na kuwekwa wakfu na Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God, Rev. Dk. Barnabas Mt...